Psalms 17:1

Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia

(Sala Ya Daudi)


1 aSikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki,
sikiliza kilio changu.
Tega sikio kwa ombi langu,
halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
Copyright information for SwhKC